Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » EXCLUSIVE: DAMIAN SOUL ANATARAJIA KUJA NA NGOMA MPYA AKIWA NA JOSE CHAMELEONE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

DAMIAN SOUL mkali ambae amefanya vizuri sana na ngoma yake inayoitwa NI PENZI aliyofanya na JOH MAKINI ameiambia fullnewstz kuwa kwasasa yuko katika maandalizi ya ngoma yake nyingine ambayo atamshirikisha Jose Chameleone kutoka Uganda .


Kama ulikuwa hujui A.Y ndio aliefanya mpango huu uweze kukamilika kutokana na Ay kuwa na ukaribu mkubwa sana na Chameleon ndie ambae ameamuwa kuwaunganisha ili kuweza kupata kazi nzuri kutoka kwa Damian soul.

Tukae mkao wa kula katika ujio mpya wa collabo kati ya Damian Soul na Jose Chameleone kutoka uganda

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply