Diamond ambae yuko South Africa saiv kwaajili ya tuzo za MTV aliamua kumtafta Godfadher na kuzungumza nae ili awafanyie video Yamoto Band.
Kmama unavyoona kwenye picha hapo mkubwa Fella,Yamoto na Godfather wakiwa mezani wanapanga jinsi gani ya kufanya ili kupata kazi nzuri
No comments