Ni habari nzuri kwa wapenda burudani na wanaowafuatilia wasanii hawa Rihana na Criss breezy kitu cha kushangaza ni kwamba hakuna beef kati
ya ex wa Chri brown na KArrueche kama ilivyo zoeleka kwa wengine,na kilicho
shangaza zaidi ni kwamba RiRi alivyo sifiawa na mwana dada Karrueche bila kinyongo
Katika interview ya may 26 alivyo hojia mwana dada huyo alisema kwamba
Rihanna ni mwana dada mzuri sana na atabaki kuwa mzuri na ndio maana wengi wana
wish kuwa nae.
Rihanna alikuwa girlfriend wa Chris Brown lakini hawakuweza kudumu sana
ndipo Breezy kumchukua mwana dada Karrueche Tran ambae wapo nae mpaka sasa
RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA
http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.
Link list 3
- MICHEZO (1)
Link list 2
Link list 1
Search This Blog
HOME
NEW HITS
UCHUMI
MICHEZO
Home
»
»Unlabelled
» RIHANA ASIFIWA NA GIRLFRIEND WA CHRIS BROWN “Karrueche”
Tagged with:
About G'14
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments