Baada ya kufanya wimbo na P Square mkali wa bongo fleva Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa video yake aliyofanya na Mr Flevour wa Nigeria imekamilika na imeshapelekwa kwenye kituo cha television cha BET
Ngoma inakwenda kwa jina la NANA ambayo imeandikwa na Diamond mwenyewe akishirikiana na Mr flavour ambapo video yake imefanywa na GODFATHER kutoka South Africa
No comments