Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » TIKETI ZA MAY - PAC ZAANZA KUUZWA LEO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

flod
Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao linazidi kutawala vichwa vya habari, mastaa kama Rick Ross , 50 Cent wamesha tembelea gym anayofanyia mazoezi Flody na sasa Mariah Carey pia alikuwa na Floyd kwenye gym.
Tiketi za mpambano huo zitaanza kuuzwa lwo kuanzia sa $ usiku kwa saa za Afrika mshariki ambapo pambano hilo linatarajiwa kufanyika tarehe 2 may huko Marekan katika jiji la Las Vegas katika ukumbi wa MGM GRAND GARDEN ARENA
flod 2
Bei ya tiketi kutokana na eneo utakalokaa ni kama ifuatavyo $ 7,500 $ 5000 $ 3,500 $ 2,500 $ 1,500 $ 1,000
Mariah Carey amekuwa shabiki mkubwa wa Mayweather na pambano la mwisho kuhudhuria lilikuwa pambano la Floyd na Shane Mosley mwaka 2010.

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply