Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » DUDUBAYA AELEZEA FURAHA YAKE YA KUKUTANA NA BEN PO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

 Ben Pol akutana kwa mara ya kwanza na Msanii mkongwe wa Bongo Fleva Dudu Baya katika usiku wa uzinduzi wa Video mpya  ya Sophia  uliofanyika  New Maisha Club Dar jumapili iliyopita .



Kwa mujibu wa msanii huyo mkongwe Dudu aliyewai kufanya vizuri katika mziki wa Bongo Fleva, Amefurahi sana kukutana na Ben Pol na alikili kutokukutana na msanii huyo toka alipoanza kumsikia kwenye muziki wa bongo fleva.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Uzinduzi wa Video mpya ya Ben Pol Sophia ulisindikizwa na wasanii pendwa wa Bongo Fleva akiwemo Rich Mavoko, Izzo Bznes, Quick Raka,Barnaba,Ice Boy na Ayler  wakati muendeshaji wa shuuli iyo alikua Mc kutoka kituo cha Radio Clouds Fm Love Nes Love Diva the Boss.


                                                     Diva the boss


 
                                       Barnaba boy
 
 
                               Quick racka

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply