Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » KAJALA AMSAMEHE MBAYA WAKE ALIEMUUMIZA NA CHUPA.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Staa wa filamu TZ Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni mtungi ulimtuma vibaya. Kajala amesema licha ya kesi hiyo kuwepo  polisi lakini yeye binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa aliemdhuru.


Kajala pia ametumia nafasi hii kukanusha dhahiri kuwa mbaya wake huyo hahusiani kwa namna yoyote na pande mbili za mashabiki wenye mivutano mikubwa ambao ni #TeamWema wanaomsapoti mwanadada Wema Sepetu, dhidi ya #Teamkajala ambao wanamsapoti yeye binafsi.



About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply