Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » WEMA AGOMBEA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wema Sepetu ameamua kuingia kwenye siasa na ameamua kugombea na Ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida ambako ndio chimbuko la mama yake mzazi.
Kwasasa Wema yuko singida ambako anaendelea kuhamasisha vijana wajiandikishe katika daftari la kupiga kura na hapo hapo pia wema amesema tayari kampeni za chini chini zimeshaanza.
Tarehe 14 mwezi 07 fomu zitaanza kutoka kwa wale wanaotaka kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo,wema amesema tarehe 15 mwezi ujao atarudi singida kwaajili ya kuchukua fomu rasmi

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply