Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » BANZA STONE HOI KITANDANI: MAMA YAKE MZAZI AELEZEA KINACHOMSUMBUA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mama mzazi wa Banza Stone ameieleza full news tz kuwa hali ya mwanae inazidi kuwa mbaya siku hadi siku na sasa Banza amegoma kula kabisa kwa siku ya 3 sasa.
Akiongea na kipindi cha Ubaoni cha Gardner juzi kupitia  E FM mama wa Banza alisema banza amegoma kula kabisa kwa siku tatu mfululizo hali chochote wala hanywi chochote,
Kwa mujibu wa kaka yake na Banza Jabir Masanja alisema Banza anasumbuliwa na fangasi kichwani kwake na dawa anazotumia ni kali sana kiasi cha kumpotezea hamu ya kula
Mama huyo ameongea kwa masikitiko na kusema mpaka sasa hakuna msanii mwezake yoyote ambae ameenda kumuangalia wala kumjulia hali na yeye kama mama hawezi kuwalaumu kwanini wasanii wenzie hawaendi kumuangalia kwasabu kila mtu ana moyo wake,amesema kwasasa yeye kama mzazi ataendelea na kumuuguza mwanae mpaka mwisho.

Jabiri amewaomba wadau wa muziki na mashabiki wa Banza walioguswa kumchangia chochote Banza kwa kutuma chochote kutumia namba 0715407088 au 0753786016

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply