Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » KYLIE JENNER ASEMA ALIANZA KUJITEGEMEA AKIWA NA MIAKA 14
«
Next
BONGO STAR SEARCH 2015 YAZINDULIWA LEO DAR ES SALAAM
»
Previous
MAPENZI YAMEROGWAYA WEMA SEPETU SASA IKO MADUKANI.

Reality Tv star Kylie Jenner (17) amesema kuwa mama yake mzazi aliacha kumpatia pesa za matumizi akiwa na umri wa miaka 14
Kuanzia hapo alikuwa anajitegemea mwenyewe kwa kila kitu kuanzia mafuta ya gari yake na chakula chake kwa ujumla.
Kylie ambae kwa sasa anamiliki vitu vingi vya dhamani ikiwemo nyumba ya dhamani ya dola milioni 2.5 na gari ya dola 125,000 amesema vitu vyote hivyo amevipata kwa juhudi zake mwenyewe
Kylie ambae anaingiza pesa nyingi kupitia kipindi chake cha KEEPING UP WITH THE KARDASHIANS na pia anabidhaa nyingi chini ya jina lake zikiwemo rangi za kucha na make up anasema  kwamba anapenda vitu vizuri lakini anaweza kuishi bila vitu hivyo 




About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
BONGO STAR SEARCH 2015 YAZINDULIWA LEO DAR ES SALAAM
»
Previous
MAPENZI YAMEROGWAYA WEMA SEPETU SASA IKO MADUKANI.

No comments

Leave a Reply