Shindano la kuvumbua vipaji vya wanamuziki lililodumu kwa miaka 8 bongo star search limezinduliwa tena jijini dar es laam
huku likija na maboresho mbalimbali chini ya udhamini mkuu kutoka kwa PSI
![]() |
Madam Ritta akizungumza na waandishi wa habari |
Mwaka huu 2015 utakuwa ni msimu mzuri na wa kusisimua
.shindano la bongo star search itakuwa kwenye
mikoa ya arusha ,mbeya na mwanza pia Bongo star search itarushwa
hewani kupitia Clouds TV na star TV . kwa hiyo mwanza tutakuwa
july 4-5 ndani ya ukumbi wa La
kairo , july 11-12 Arusha katika ukumbi
wa Tripple A Hotel ,july 18-19 tutakuwa Mbeya
ndani ya ukumbi wa club vibes na Dar es laam itakuwa tarehe 24-26 . kwa hiyo wenye vipaji wakae mkao wa kula alisema madam Rita
![]() |
Madam rita (kushoto) na mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo |
Pia madam Rita
alisema mshindi kama kawaida atapewa zawadi ambayo bado
haijawekwa wazi pamoja na usimamizi kutoka TipTop connection
Licha ya zawadi kwa
washindi pia top 5 watakuwa chini ya TipTop connections, yaani TipTop ndio
itawamaneji washindi hao 5
Pia mwaka huu tupo na mbunifu wa mavazi Ally
Rehmtullah.Tumegundua kuwa muziki na swagga na mavazi vinaendana kutokana na mambo ya mitandao .Sasa
hivi ili uonekane vizuri inabidi
uvae vizuri kwa hiyo tumegundua tukiunganika na tasnia nzima ya mitindo
Tutapata wasanii ambao wapo kwenye kiwango cha mataifa
kabisa sasa hivi hatuwezi kuimba huku tumevaa vibaya . Sasa hivi mwonekano mpya ambao utaleta mapinduzi katika mziki
wetu alisema Madam
![]() |
Meneja wa PSI ,Gaston shayo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari |
Kwa upande wa
mdhamini mkuu wa shindano la Bongo star
search , kupitia meneja wa mauzo
,Gaston Shayo alisema kupitia kampeni yao kuwa original ya kuelimisha vijana kutumia kondom ,wameona
Bongo star search ndicho chombo muafaka
cha kuibua vipaji nafasi ya kungara
pamoja kuwa salama
No comments