Zaidi ya Wanafunzi 150 katika chuo cha Mlimani School of Professional Studies wameanza mitihani yao leo ya kumaliza muhula wa masomo kwa
mwaka 2015 na wanatarajia kuhutimisha mitihani hiyo siku ya ijumaa tarehe
15/05/2015 ambapo wataenda likizo ya mwezi mmoja na wanatarija kurejea chuoni
mwezi wa sita tarehe 15 kuendelea na muhula mwingine wa masomo.
Katika mitihani hiyo iliyoanza rasimi leo asubuhi inajumiuisha wanafunzi wa
ngazi ya cheti yaani “certificate”wa mwaka 2014 na ngazi ya stashahada yaani
diploma wa mwaka 2014 katika idara mbalimbali ikiwa ni pamoja wanafunzi wa idara
ya habari na mawasiliano kwa umma, idara ya rasilimali watu na uongozi wa
biashara.
Fulltainment inawatakia kila la kheri katika mitihani yao
No comments