Fulltainment imefuatilia vizuri sana prof j leo akiwa anazungumzia albam yake MACHOZI
,JASHO NA DAMU ilitoka mwaka 2002.
Amesema katika albam yake
hiyo Alikuwa anaandika nyimbo ambazo zitakaa miaka mirefu kutokana na
mashairi yake yaliyokuwa yanazungumziwa kwenye nyimbo zake ambapo anaamini
mpaka leo bado mashahiri yale yanasisimua na kumfanya mtu aamini ukweli
unaozungumzwa kwenye hip hop.
Amesema pia Zamani wasanii walikuwawanatafuta umaarufu kwa
namna yoyote ambapo iliwabidi wasanii wakaze kutoa ngoma ambayo itasababisha
wapate show mbali mbali za kuwatambulisha kwenye madisco ya akina Bony Love na
wengine wengi
Kipindi hicho albam hiyo ilikuwa inauzwa sh 500 za kitanzani kama unakumbuka?????
Prof Jay ndio aliesababisha fid Q kurudi kwenye game baada ya
fid kukata tamaa kwenye mziki kwa kipindi kile alipokuwa anaishi mwanza ambapo pia familia yake ilihamia huko.
moja kati ya watu waliosikika kwny albam yake ya MACHOZI,JASHO NA DAMU
Babu ayubu,seki,sos B, n.k
Jitihada zake ndizo zilizosababisha Prof saiz kuwa mbunge wa huko MIKUMI katika mkoa wa Morogoro .
mungu mbariki prof ,Mungu ibariki Afrika
No comments