Mkurugenzi wa kampuni ya BenchMark production ambae pia ni
judge wa mashindano ya kusaka vipaji kwa vijana wa kitanzania katika shindano
la Bongo Star Search, Ritta Paulsen amedhibitisha jana kwamba Bongo star search inarud
tena mwaka huu kwa kishindo kikubwa
vijana wakae tayari.
Akizungumza na Amplifyer ya Millad Ayo jana alisema tayari wamesha sign mkataba na kampuni kubwa ya nje ambayo ndio itakuwa inadhamini mashindano hayo kwa mwaka huu,kwahiyo siku si nyingi itatangazwa lini mashindano yanaanza rasmi na itakuwa katika mwezi huu huu wa 5.
No comments