Select Menu

.

.

RAMADHANI KAREEM

RAMADHANI KAREEM

ALLEN PETER KASIGA

http://www.loxiastudio.com/en/options/2/1#/LXModuleExport
Powered by Blogger.

Link list 3

Link list 2

Link list 1

Search This Blog

HOME

NEW HITS

UCHUMI

MICHEZO

» »Unlabelled » TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE YA ENGLAND IMEANZA VIBAYA MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA KWA UPANDE WA WANAWAKE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Timu ya taifa ya wanawake ya England imeanza vibaya mashindano ya kombe dunia kwa upande wa wanawake yanayoendelea nchini Canada, kwa kukubali kipigo cha bao moja kwa yai viza kutoka kwa Ufaransa kwenye mtanange uliopigwa hapo jana.
Takriban dakika 29 tu za mchezo huo zilitosha kwa mwanadada Eugenie Le Sommer kupeleka msiba kwa timu ya England umbali wa yadi 20 tu.
Matokeo haya yanaendeleza ubabe wa taifa la Ufaransa kwa upande wa soka la wanawake, ambapo takribani miaka 41, England haijafanikiwa kuwashinda wapinzani wao hao.
Na katika viwanja vingine Hispania ilicheza dhidi ya Costa Rica,matokeo ni moja moja…. Nayo Colombia ilivaana na Mexico, katika kipute hicho Colombia na Mexico nayo, moja moja. Na hatimaye Brazil walifumania nyavu mara mbili na korea ya kusini waliondoka kichwa chini

 
 






 

About G'14

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply